Supervision
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 265
- 203
Naamini nitakuwa nimepata jukwaa huru la kushare kile ambacho kipo kwenye mind yangu na kinasumbua kwelikweli.
Wadau ninaomba msaada wa mawazo kati ya haya mawazo mawili, kupanda miti ekari hamsini ama kuweka hisa pesa yangu baada ya miaka mitatu niichukue, nipeni ushauri
Wadau ninaomba msaada wa mawazo kati ya haya mawazo mawili, kupanda miti ekari hamsini ama kuweka hisa pesa yangu baada ya miaka mitatu niichukue, nipeni ushauri