Supervision
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 265
- 203
Naamini nitakuwa nimepata jukwaa huru la kudhare kule ambacho kwenye mind yangu na kinasumbua kwelikweli.
Wadau ninaomba msaada mawazo kati ya haya mawazo mawili kupanda miti ekari hamsini ama kuweka hisa pesa yangu baada ya miaka mitatu niichukur.Tafadharini nipeni ushauri
Mkuu unaweza kutufafanulia kuhusu hili kwa urefu, especially UTTKuna avenue hujazifikiria:
1) Government Securities
2)UTT
Hizi 2 zina predictable returns
Hisa kwa Nchini yetu bado,soko ni changa mno,jaribu kuangalia trend ya soko la Dar,lipo stagnant.
Ilikuwa nimepost haraka without editingmkuu panda tu miti. wasiwasi wangu ni unavoandika kwa shida hivo si ajabu na kusoma kwako kukawa mtindo huo huo hivyo kupelekea kuibiwa huko kwa wajanja wa hisa. samahani kama ushauri wangu una ukakasi.
poa poa. usiwage na haraka kiasi cha kutokua makini. so vema mkuuIlikuwa nimepost haraka without editing
KWani kwenye hisa hakuna risks????Hisa ndo kila kitu....miti inaweza isiote yote au likatokea janga la moto ikaungua
Ok pouwa,hasa katika ujasiria malipoa poa. usiwage na haraka kiasi cha kutokua makini. so vema mkuu