Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Option ya pili ni nzuri zaidi Mkuu.Ipi ni nafuu kwa watu wa Simba kati ya possibilities hizi: Simba kushika nafasi ya tatu na Feisal kuwa mfungaji bora; au Simba kushika nafasi ya pili na Aziz Ki kuwa mfungaji bora
HahahahaaaOption ya pili ni nzuri zaidi Mkuu.
Lkn probability hapo ni 0.0000001Option ya pili ni nzuri zaidi Mkuu.
Wewe sio shabiki wa Simba. Tuache wenyewe tujibu. Ni bora tu Fei Toto awe Mfumgaji Bora na sie Simba tuwe Mshindi wa Tatu. Kwanza Kombe la Shirikisho mbona zuri tu. Halina noma wala nini!!!Option ya pili ni nzuri zaidi Mkuu.
Hata mimi nikiwa kama shabiki kindakindaki wa simba, nitafurahi kuona Fei Toto anashinda tuzo ya ufungaji bora, halafu msimu ujao tutajipanga tu upya kwa ajili ya kugombania hiyo nafasi ya pili.Wewe sio shabiki wa Simba. Tuache wenyewe tujibu. Ni bora tu Fei Toto awe Mfumgaji Bora na sie Simba tuwe Mshindi wa Tatu. Kwanza Kombe la Shirikisho mbona zuri tu. Halina noma wala nini!!!
JamanWewe sio shabiki wa Simba. Tuache wenyewe tujibu. Ni bora tu Fei Toto awe Mfumgaji Bora na sie Simba tuwe Mshindi wa Tatu. Kwanza Kombe la Shirikisho mbona zuri tu. Halina noma wala nini!!!
MmmmmhHata mimi nikiwa kama shabiki kindakindaki wa simba, nitafurahi kuona Fei Toto anashinda tuzo ya ufungaji bora, halafu msimu ujao tutajipanga tu upya kwa ajili ya kugombania hiyo nafasi ya pili.
Tupo pamoja Mkuu. Nguvu Moja!Hata mimi nikiwa kama shabiki kindakindaki wa simba, nitafurahi kuona Fei Toto anashinda tuzo ya ufungaji bora, halafu msimu ujao tutajipanga tu upya kwa ajili ya kugombania hiyo nafasi ya pili.
Huo ndio ukweli. HAIWEZEKANI! Yaani wachukue Kombe na Mfumgaji Bora? Hamna kabisa!Jaman