muhinda-moja
Senior Member
- Sep 22, 2014
- 117
- 9
Naombeni wana jf msaada wa mawazo,kipi bora kwenye soko la ajira,ni GPA + Chuo ulichosomea au ni GPA,Chuo ulichosomea mbele kwa mbele!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GPA inamata sana lakini huwezi kuitaja GPA bila chuo so chuo kwanza GPA badae, mfano kutokana na research iliyofanywa na wasomi waliobebea katika maswala ya Human resource na magwiji wengine nchini, wamebaini kwamba GPA ya 2.0 ya UDSM ni sawa na GPA ya 4.8 ya vyuo mbuzi kama sekuko, ruco, josia kibira, saut bukoba, sauti mpanda, sauti mtwara na vyuo mbuzi vingine.
Mfano kwenye vyuo mbuzi unakuta mtu wa mwisho ana GPA ya 3.8 sasa hapo unadhani kuna uhalisia kweli?
GPA inamata sana lakini huwezi kuitaja GPA bila chuo so chuo kwanza GPA badae, mfano kutokana na research iliyofanywa na wasomi waliobebea katika maswala ya Human resource na magwiji wengine nchini, wamebaini kwamba GPA ya 2.0 ya UDSM ni sawa na GPA ya 4.8 ya vyuo mbuzi kama sekuko, ruco, josia kibira, saut bukoba, sauti mpanda, sauti mtwara na vyuo mbuzi vingine.
Mfano kwenye vyuo mbuzi unakuta mtu wa mwisho ana GPA ya 3.8 sasa hapo unadhani kuna uhalisia kweli?
Acha dharau we pimbi vyuo mbuzi baba ako anavyo kubahatisha hiyo ud na likozi lako la ki.sen.ge unajiona umemaliza kila kitu, unajitapa hapa jukwaa la elimu ila after few yrs tutakukuta jukwaa la ajira unalia lia, afu comment zako nyingi znaonyesha kwanza we ni mgeni hapa jf, hata matumizi ya internet umeyajua juzi baada ya kupata posho jkt ukanunua hiko kimchina chako, acha wehu unajichora tu mazaf.ka
Acha dharau we pimbi vyuo mbuzi baba ako anavyo kubahatisha hiyo ud na likozi lako la ki.sen.ge unajiona umemaliza kila kitu, unajitapa hapa jukwaa la elimu ila after few yrs tutakukuta jukwaa la ajira unalia lia, afu comment zako nyingi znaonyesha kwanza we ni mgeni hapa jf, hata matumizi ya internet umeyajua juzi baada ya kupata posho jkt ukanunua hiko kimchina chako, acha wehu unajichora tu mazaf.ka
Samahani sana mkuu kama nimekukwaza, pia ni muhimu ukajikita kwenye hoja badala ya matusi na kashfa kwangu, Pia mkuu ni lazima uwe na uvumilivu sababu tunatofautina sana mitazamo.
GPA inamata sana lakini huwezi kuitaja GPA bila chuo so chuo kwanza GPA badae, mfano kutokana na research iliyofanywa na wasomi waliobebea katika maswala ya Human resource na magwiji wengine nchini, wamebaini kwamba GPA ya 2.0 ya UDSM ni sawa na GPA ya 4.8 ya vyuo mbuzi kama sekuko, ruco, josia kibira, saut bukoba, sauti mpanda, sauti mtwara na vyuo mbuzi vingine.
Mfano kwenye vyuo mbuzi unakuta mtu wa mwisho ana GPA ya 3.8 sasa hapo unadhani kuna uhalisia kweli?