byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,059
- 946
saut- mwanza!
saut- mwanza!
Kwatakwimu za sasa chuo cha kwanza kwa ubora tanzania ni muhimbili university of health and allied science ambacho ni cha tatu kwa afrika mashariki. Unaweza uka google ukapata list ya vyuo vyote tanzania na africa mashariki na duniani kote kuanzia cha kwanza hadi cha mwisho.