Kipi hutakisahau mwaka 2019?

Rosicky

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2015
Posts
1,202
Reaction score
2,045
Habarini JF members,

Maisha ya mwanadamu yana vipindi vya furaha na huzuni, chochote kati ya hivyo viwili kinaweza kubaki katika kumbukumbu ya maisha kutokana na kilivyomuumiza/kumfurahisha.

Huu uzi naomba tushee visa/mikasa/wonderfull moment happened in 2019.

N.B Kuna mafundisho mengi sana kwenye mapito ya binadamu mwenzako.

WELCOME 2020!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…