Kipi hutakisahau mwaka 2019?

Pole sana mkuu,hope everything will be alright.
 
Pole sana

Hope utakuwa strong na brave zaidi ya mishil OG

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mwaka ambao nilimpenda my friend sana na anajua hivyo..sasa juzi kanipa mshangao akanitamburishe kipenzi chake...aisee tumbo lilinikata ghafla nikagoma kwenda...nikampa block kote lengo nimsahau kabisa..kuna watu wakatili duniani...Namshukru kwa kipindi chote alichonipa furaha otherwise namtakia kila la kheri..hili nalo litapita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio shida ya kukaa na vitu moyoni bila kufunguka, usiseme tu anajua je ulimwambia kuwa unampenda? Piga moyo konde mweleze masahibu yako....huwezi jua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio shida ya kukaa na vitu moyoni bila kufunguka, usiseme tu anajua je ulimwambia kuwa unampenda? Piga moyo konde mweleze masahibu yako....huwezi jua

Sent using Jamii Forums mobile app
Trust me anajua sana na amenifanyia makusudi.Mungu anamuona huko may be hanipendi..M not chasing again .wacha nipishe njia tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mwaka ambao nimepita katika kila Aina ya vipindi.

Kiroho Ni mwaka nilioimarika Sana,MUNGU alinionyesha kipawa(karama yangu) na baada ya hapo nimepita sehemu ngumu Sana.
Ni mwaka niliopitia magumu mengi,Hadi kuna muda unafika nakata tamaa lakini bado MUNGU ananiambia nisimame.

Familia yangu imepita kwenye misukosuko Sana ila sikuchoka kuomba.

Ni mwaka ambao nimepata marafiki,
Wengine niliwaacha waende maana hawakujua umuhimu wa urafiki wangu na kujitoa kwangu,
Wengine bado nashirikiana nao katika kila Khali.
Hawa wote naomba baraka za Mungu ziwe juu yao.

Ni mwaka ambao rafiki yangu wa karibu(yumo humu) ameondokewa na Mama yake mzazi..hii Ni Jana tu.

Yote Yote kwa yote namshukuru Sana MUNGU.
Ametuagiza tushukuru kwa yote mema na mabaya.
Yeye Ni MUNGU na atabaki kuwa Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kosa lake ni ninii!????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…