Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 619
eza pembeni nini kinafwata?Kaka mkubwa siku hizi kuna G string... haya mapana ni old school...watoto wa mjini hawana muda wa kuzishusha...unasogeza tu kauzi pembeni!
Agrrrrrrrriiiiiii, griirrrrrrriiihSamaki
Chupi
Mwaka wa pili sasa hakuna jibu mujarab?
Najua we huvai kabisaaa...inakupa joto, so hili swali umeshindwa kulitolea jibuMmmh
Wasichana ungetuwekea boxer
Najua we huvai kabisaaa...inakupa joto, so hili swali umeshindwa kulitolea jibu
Kila kitu kinavuliwa na wanaume, kuanzia Samaki, chupi, thong hadi boxer. Sidhani hata kama huwa mnaona boxer inavyovuliwa maana macho huwa mmefunga..., Uongoo....???
[emoji23] [emoji38]Kaka mkubwa siku hizi kuna G string... haya mapana ni old school...watoto wa mjini hawana muda wa kuzishusha...unasogeza tu kauzi pembeni!
Hongera kwa kuwa na akili nene ya kuwaza kaputura usiku!