Kipi kati ya haya ni upungufu wa nguvu za kiume?

yuga

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2016
Posts
375
Reaction score
265
Hivi kipi kati ya haya ni upungufu wa nguvu za kiume?

1. Kuwahi kumwaga
2. Kutodinda
3. Kutokuwa uwezo wa kurudia tendo
4. Kutokuwa na uwezo wa kutungisha. mimba.

WanaJF naombeni mnisaidie hapo which is which?
 
Hivi kipi kati ya haya ni uupungufu wa nguvuu za kiume
1. Kuwahi kumwaga
2.kutodinda
3.kutokuwa uwezo wa kurudia tendo
4.kutokuwa na uwezo wa kutungisha. mimba.
Wana jf naombeni mnisaidie hapo which is which
1-3 ndiyo upungufu wa nguvu za kiume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…