KutodindaHivi kipi kati ya haya ni uupungufu wa nguvuu za kiume
1. Kuwahi kumwaga
2.kutodinda
3.kutokuwa uwezo wa kurudia tendo
4.kutokuwa na uwezo wa kutungisha. mimba.
Wana jf naombeni mnisaidie hapo which is which
Hahahaaaa. Kama namuona shemejiKushindwa kumridhisha mwanamke wako ndio upungufu wa nguvu za kiume
1 na 3 zinanitia hasira sana
[emoji36]Hahahaaaa. Kama namuona shemeji
Akikosa kimojawapo itakuwa ni majanga haaaa, kwahyo anatakiwa awe na kimojawapo au nimeelewa vibayaHahahaaa. Vyote hivyo ni kama vile pipa na mfuniko yaani ukikosa kimoja wapo ni majanga tayari.
Dawa yake ni kuchelewa kumwaga mkuuNaomba kuuliza hivi "KUWAHI KUMWAGA" dawa yake ni nini????
Kwahiyo unataka kusema kuna ukosefu Wa nguvu za kikeHakuna hata moja kati ya hayo
maana kutokuwa na nguvu za kiume
ni kukosa uwezo wa kumzalisha mke wako
watoto wa kiume.
MhhHahahaaa. Vyote hivyo ni kama vile pipa na mfuniko yaani ukikosa kimoja wapo ni majanga tayari.
Asikikose hata kimoja hapo. Hahaaaaa.Akikosa kimojawapo itakuwa ni majanga haaaa, kwahyo anatakiwa awe na kimojawapo au nimeelewa vibaya
Mie sijambo jirani. Sijui wewe? πππ
Hapo sawaAsikikose hata kimoja hapo. Hahaaaaa.
πππππHapo sawa
Pole..Kushindwa kumridhisha mwanamke wako ndio upungufu wa nguvu za kiume
1 na 3 zinanitia hasira sana
Namba 2 na 3 zinaweza kuhusishwa na upungufu wa nguvu za kiume lk no 1 kuwahi au premature ejaculation sio upungufu wa nguvu za kiume na tiba yake ni tofauti no 4 ni Male infertility ambayo pia nguvu zinaweza zikawepo uka ejaculate kawaida ukafanya round nyingi utakavyo ila ndio husababishi mimba!1 mpaka 3 ni upungufu wa nguvu za kiume, 4 ni ugumba