Ukiondoa kukutana na Warioba, kipi kikubwaTundu Lissu tangu achaguliwe amekifanya ndani ya CHADEMA au kwa taifa ambacho kinamfanya aaminike na kukuza chama chake?
Kwa mimi naona nothing.
Namuona Wasira na dkt Samia wakihamasisha zaidi watanzania waipende na waiamini CCM.
Pia soma > Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi
Kwa mimi naona nothing.
Namuona Wasira na dkt Samia wakihamasisha zaidi watanzania waipende na waiamini CCM.
Pia soma > Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi