Kipi kikubwa Tundu Lissu alichofanya tangu awe mwenyekiti CHADEMA?

Since your nothing, then out of your nothingness, you will see your emptiness!!
 
Wiki mbili zilizopita nilimuona Mikocheni nikaambiwa anaenda kukabidhiwa ofis ya uenyekiti na Mbowe, bro sidhan hata kama mama yako aligundua ana mimba yako ndani ya wiki mbili!
 
Daah Acha kufikiria mambo kwa kutumia makalio
 
Mbali na kuuza bandari, kuuza wanyama pori, kutoa ajira fake kwa maana ya hazipo na kuweka wazanzibar kila idara kipi kafanya mama yenu?
 
Hilo bichwa umejaza matope?.
 
Mbali na kuuza bandari, kuuza wanyama pori, kutoa ajira fake kwa maana ya hazipo na kuweka wazanzibar kila idara kipi kafanya mama yenu?
Kukupa amani ya moyo wako, unalala kwa kukoroma, waulize wa DRC
 
Kumtimua mzee Mbowe kwenye hiki Chama hata asipofanya kitu chochote ndani wa miaka mitano bado itaendelea kuwa ni tukio kubwa mno kwa wanachadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…