Kipi kimemkuta Godfrey Tumaini (Dudu Baya/Konki Master)?

Hivi wadau Wakati wa kampeni niliskia Dudu kapotea vip kapatikana! Respect kwa Legend wetu hawa
 
Nasikia Dudubay hatuko naye tena,pumzika kwq amani konk master
 
itakuwa hana smart phone
 
Sasa itabidi arudi hapa Mwanza maeneo ya Mhandu Machinjioni ili ashirikiane na kakaake kuuza mabaki ya nyama hapa kwenye solo la Machinjioni.
 
KONKI hana madhara yeyote nchini mpaka apotezwe!! Atakuwa hana kitu anakunywa migongo kitaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…