Kipi 'Kimewanyamazisha' ghafla Wahalifu 'Panya Road' Mkoani Dar es Salaam?

Kipi 'Kimewanyamazisha' ghafla Wahalifu 'Panya Road' Mkoani Dar es Salaam?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
a) Mizizi yao imeshajulikana na imedhibitiwa Kiurahisi.

b) Ulikuwa ni Mpango Mkakati wa kufunika Jambo kwa Kipindi husika.

c) Kuuliwa Kwao Kishalubela ( Kikatili ) na Maiti zao Kurundikana Mochwari Kumewatisha na hata Kuwakimbiza Mjini.

d) Wametumika kufikisha Ujumbe mahala fulani Juu kabisa kuhusiana na Madai au Matakwa yao na aliyefikishiwa kaamua Kuufyata ( kuwa Mpole ) rasmi Kwao?

e) Walikuwa siyo Wao ( Panya Road ) bali walikuwa ni Wahuni fulani waliokuwa na Baraka zote za Kulindwa na Police ili baadae ( baada ) ya Tukio waje Kugawana kilichopatikana?
 
usijaribu pale halmashauri fulani Kuna afande sipesho

1---akijiridhisha anawafata wazazi wako anawapa taarifa wakuonye

2-- akijiridhisha walikuonya na umeendelea na wizi au ukibaka taarifa itakayofata utakutwa mochwari haijarishi kakukuta maeneo gani

**** Kwakweli wananchi maeneo Yale wanajivunia Sana milango acha wazi hukuti sisimizi kaingia katawanya namba zake safisana mudawowote mpigie mwambie tatizo lako utahidumiwa

Wananchi wanakushukuru afande namna unavokimbiza mwizi kimya kimya
 
usijaribu pale halmashauri fulani Kuna afande sipesho

1---akijiridhisha anawafata wazazi wako anawapa taarifa wakuonye

2-- akijiridhisha walikuonya na umeendelea na wizi au ukibaka taarifa itakayofata utakutwa mochwari haijarishi kakukuta maeneo gani

**** Kwakweli wananchi maeneo Yale wanajivunia Sana milango acha wazi hukuti sisimizi kaingia katawanya namba zake safisana mudawowote mpigie mwambie tatizo lako utahidumiwa

Wananchi wanakushukuru afande namna unavokimbiza mwizi kimya kimya
I see [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Wamechinjwa kama kuku, hata wa kusimulia hamna walahi [emoji1787]
Yaani wamefyekelewa kabisa!
 
Back
Top Bottom