GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
a) Mizizi yao imeshajulikana na imedhibitiwa Kiurahisi.
b) Ulikuwa ni Mpango Mkakati wa kufunika Jambo kwa Kipindi husika.
c) Kuuliwa Kwao Kishalubela ( Kikatili ) na Maiti zao Kurundikana Mochwari Kumewatisha na hata Kuwakimbiza Mjini.
d) Wametumika kufikisha Ujumbe mahala fulani Juu kabisa kuhusiana na Madai au Matakwa yao na aliyefikishiwa kaamua Kuufyata ( kuwa Mpole ) rasmi Kwao?
e) Walikuwa siyo Wao ( Panya Road ) bali walikuwa ni Wahuni fulani waliokuwa na Baraka zote za Kulindwa na Police ili baadae ( baada ) ya Tukio waje Kugawana kilichopatikana?
b) Ulikuwa ni Mpango Mkakati wa kufunika Jambo kwa Kipindi husika.
c) Kuuliwa Kwao Kishalubela ( Kikatili ) na Maiti zao Kurundikana Mochwari Kumewatisha na hata Kuwakimbiza Mjini.
d) Wametumika kufikisha Ujumbe mahala fulani Juu kabisa kuhusiana na Madai au Matakwa yao na aliyefikishiwa kaamua Kuufyata ( kuwa Mpole ) rasmi Kwao?
e) Walikuwa siyo Wao ( Panya Road ) bali walikuwa ni Wahuni fulani waliokuwa na Baraka zote za Kulindwa na Police ili baadae ( baada ) ya Tukio waje Kugawana kilichopatikana?