The MaskmaN
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 350
- 764
Habari zenu wana JF
Moja kwa moja ningependa niende kwenye mada au swali husika.
Kulingana na kichwa au swali langu hapo juu kwa wenye ufahamu nalo please ningependa kufahamu maana nimekuwa nikijiuliza sana suala hili na kushindwa kupata majibu yaliyo sahihi kichwani mwangu.
mfano unaweza kuta Umoja wa Mataifa unamteua mtu fulani wakiamini anaweza kwenda na kusuluhisha na mgogoro ukafikia makubaliano au ukatatuliwa kabisa.
Asanteni,nimewasilisha.
Moja kwa moja ningependa niende kwenye mada au swali husika.
Kulingana na kichwa au swali langu hapo juu kwa wenye ufahamu nalo please ningependa kufahamu maana nimekuwa nikijiuliza sana suala hili na kushindwa kupata majibu yaliyo sahihi kichwani mwangu.
mfano unaweza kuta Umoja wa Mataifa unamteua mtu fulani wakiamini anaweza kwenda na kusuluhisha na mgogoro ukafikia makubaliano au ukatatuliwa kabisa.
Asanteni,nimewasilisha.