Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Nini kinakufanya umchukie huyo uliyena uliyenae.
Mimi kununa nuna, Dharau, kiburi
Mimi kununa nuna, Dharau, kiburi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alubati ?Unamchukia halafu bado upo nae?!. Au ulitaka kusema kero? Kero zipo kwa wapendanao,lakini kukishakuwa na chuki maana yake upendo hakuna.
Naam...Alubati ?
Noma sanaNaam...
Mbona yeye kakuchokaSijawahi kumchoka Lamomy wangu 😍
Dah nimelia sana 😭Mbona yeye kakuchoka
Sory love, nakuahid zawadi nzuri siku tukionana😂😂😂😂 Mbaga jana umeniudhi kunitag kwenye nyuzi za hovyo.!! Ipo siku Ntakuchapa.
Thubutuuu!! 😂😂Sory love, nakuahid zawadi nzuri siku tukionana