Kipi kinakufanya kumchukia uliye naye (mwenzi wako)?

Kipi kinakufanya kumchukia uliye naye (mwenzi wako)?

Ialingena-bigali tuimwalo mwemwe lokomwinto bustali oyelenenge bikentenee
 
Unamchukia halafu bado upo nae?!. Au ulitaka kusema kero? Kero zipo kwa wapendanao,lakini kukishakuwa na chuki maana yake upendo hakuna.
 
Ni masimu ,ni masms .Kichwa chenyewe hiki kina kelele kibao hiki.Na haelewi .
 
Back
Top Bottom