Sorry[emoji120]Kwanini msiende kuchat pm,
Futa kwanza mimi mbona nimefuta ni chache tuu.Hii kazi itakuwa ngumu sana kwangu, maana nimeandika nyingi sana.
Cha msingi, tuufanyie kazi tu ushauri wa mdau. Twenzetu ma PM huko tukachat.
Muda mali sana bibie.Futa kwanza mimi mbona nimefuta ni chache tuu.
Nimefuta.Futa kwanza mimi mbona nimefuta ni chache tuu.
Sababu zako ni kama zangu.1. Kama ni kwenye ubishani naweza nikaandika kisha nikajikuta nasema "It's not worth a time and effort, they can believe what they want. Kisha naifuta.
2. Kama nikikutana na mtu kama Zurri huwa najisemea " hivi kweli nipo tayari kuitumia siku yangu nzima kubishana na mtu/watu na mwisho wa siku siwezi kubadili mawazo yao? It's not really important. Kisha nafuta.
3. When I am reading it over and realize how weird it sounds naamua kutokujichosha zaidi na kupoteza other people's time reading it. Nafuta.
Hii ipo gud boss.Nakijua kichwa changu kinavyotapika pumba..Kila nikichangia kitu after 24hrs lazima nirudi kufuta comments zangu. Landa uwe uzi nilioanzisha mm.
Kuna wakati nasoma comments zangu hadi najionea aibu.. (hata hii comment itafutwa)
Pamoja mkuu.Threads za siasa kuna watu wanajibu utumbo/kupotosha makusudi hadi unashindwa kuelewa kama vichwa vyao ni vizima.
So mara nyingi natamani niwajibu + kuwakosoa, naandika kabisa lakini nafuta before sijapost sababu napata uoga maana sijui naemjibu ni nani , anawadhifa gani + lengo lake ninini.
Thats all.
Hii nayo ni sababu kwanini na mimi nafuta.Kama wote wako positive alafu wewe comment yako iko negative hahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja Chief.Mimi kuna mada nyingi sana, hasa zile ambazo zimegubikwa na uongo mwingi, au tuhuma.
Mfano wa mada hizi huwa napita tu kimya kimya, na ikitokea nikaandika basi aidha nafuta au naandika "Nimesoma maoni yote" au"Naendelea kusoma maoni ya wadau".
reflection.Kuna muda unakuta mada unaamua kuchangia. Unaanza kuandika kisha unaona ni mizenguo tuu unaamua kufuta ulichoandika kabla haujapost.
Ni sababu ipi inapelekea unaifuta comment yako badala ya kuipost?
Kufuta kabla ya kupost sio baada ya kupost mkuu.Huwa sifuti comment wala thread.
Ukiona unafuta futa unavyoviandika humu jua your mind is corrupted.
Unforgetable