KIPI KINATIA AIBU

Msomi hewa

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2016
Posts
768
Reaction score
1,066
.......1- Kukutwa unajaribisha viatu vya Mgeni
2- Mgeni kukutwa anaongeza maji ya Ugali
 
Hapana, mi naona bora Mgeni kucheka hadi kuj*mb* wakati wa kula..
 
ungesema kipi kinatia aibu zaidi maana vyote vinatia aibu....

ila bora uongeze maji uonekane una njaa kuliko kuonekana mwizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…