Wadau kuna maneno yanatatiza ,
Ukifuatilia vyombo vya habari siku hizi kwenye mahojiano, au popote pale kwenye maisha ya kila siku, pindi mtu anapopewa fursa ajitambulishe utasikia anaanza kusema kwamajina naitwa fulani bin fulani,
Swali langu kwa wajuvi ipi sahihi kati ya KWAMAJINA AU KWAJINA
Halafu hii kwamajina wanatumia sana wakenya naona sasa imeingia tanzania