Ulabu sio kitu kizuri saa zingine,jamaa kalewa mpaka saa hii yuko bar,.ulimuacha pekeake jana ee??[emoji23]Aiseeee
Babu kumekuchaa,..muda wa gambe umeisha,.Kisim**i cha mwanamke kina simama na kukakamaa kwa mda
Si ndo hapo,.jamaniiiSina hata nilichoelewa shunie mm sasa unatumiaje dawa ya nguvu za kiume wewe mwanamke
Morning yooBabu kumekuchaa,..muda wa gambe umeisha,.
Umezinguaaa,unakaaje baa mpaka saa hii babuuMorning yoo
Nishaamka toka saa 10 za alfajir...basi tu mihangaiko ya hapa na paleUmezinguaaa,unakaaje baa mpaka saa hii babuu
Me nikajua unaota sio kwa likomenti lako lile la nambari wani[emoji23]Nishaamka toka saa 10 za alfajir...basi tu mihangaiko ya hapa na pale
Si unajua kuandaa supu za kukata pombe tena
Bora ufanye ivyo ili muende sawammmmh bc kweny kwichi kwichi atanikimbiza sanaaaaaaa ngoja na me niongeze dozi
Hahaha nilishuhudia kabisa hilo,wala sijadanganya[emoji23] [emoji23]Me nikajua unaota sio kwa likomenti lako lile la nambari wani[emoji23]
Ee bhana eeee,.bibie alichachamaa kama John Cena eee[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha nilishuhudia kabisa hilo,wala sijadanganya[emoji23] [emoji23]
Yan hata sio kipindi hichi..hilo tukio lilitokea 1992 nikiwa kijiji flan hapa tanzania..Ee bhana eeee,.bibie alichachamaa kama John Cena eee[emoji23][emoji23][emoji23]
Dadekkii ulifaidijeeee[emoji23]Yan hata sio kipindi hichi..hilo tukio lilitokea 1992 nikiwa kijiji flan hapa tanzania..
Dawa za kipindi hicho zilikua hatari mnoo,yan hata ukinusa tu ile miziz basi ngomaa lazima iende mnara,madada
wakajichanganya wakaijaribu...bwana wee