Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
WB wamesitisha mkopo kwa Tanzania. Lakini baadaye nimemsikiliza ZZK anasema mkopo huo ulilenga kujenga mashule ikiwemo kukarabati shule zilizopo.
Lakini tathmini ya mazingira ya walimu kuanzia nyumba, mishahara na mafunzo ya kujiendeleza vyote vipo ovyo kabisa!!
Swali ni:
Je, tuendelee kupaka rangi madarasa wakati mwalimu hana amani ya roho anapofundisha?
Tulijadili hili, great thinkers!
Lakini tathmini ya mazingira ya walimu kuanzia nyumba, mishahara na mafunzo ya kujiendeleza vyote vipo ovyo kabisa!!
Swali ni:
Je, tuendelee kupaka rangi madarasa wakati mwalimu hana amani ya roho anapofundisha?
Tulijadili hili, great thinkers!