zungu2030 Member Joined Aug 28, 2014 Posts 6 Reaction score 0 Sep 13, 2014 #1 Habari zenu wana JF, Naombeni msaada wenu mimi ni nina elimu ya Darasa la saba, na ninataka kwenda kusoma IT je hii inawezekana ?
Habari zenu wana JF, Naombeni msaada wenu mimi ni nina elimu ya Darasa la saba, na ninataka kwenda kusoma IT je hii inawezekana ?
J jay_samuel_dunstan Member Joined Aug 6, 2014 Posts 39 Reaction score 3 Sep 13, 2014 #2 Nenda chuo cha LearnIT ukajaribu bt I cnauhakika sana kama wanapokea watu weye level ya elimu kama yako.
Nenda chuo cha LearnIT ukajaribu bt I cnauhakika sana kama wanapokea watu weye level ya elimu kama yako.
Njunwa Wamavoko JF-Expert Member Joined Aug 11, 2012 Posts 5,757 Reaction score 2,368 Sep 13, 2014 #3 zungu2030 said: hbr zenu wana Jf...jmn naombeni msaada wenu mm ni nina elimu ya std7,na ninataka kwenda kusoma IT inasound kwa mm std7?? Click to expand... Hope unajua english kama ni hivo na bado umri unaruhusu soma secondary kwanza kama hauwezi kabisa basi tafuta vyuo ambavyo havina usajili wa NACTE
zungu2030 said: hbr zenu wana Jf...jmn naombeni msaada wenu mm ni nina elimu ya std7,na ninataka kwenda kusoma IT inasound kwa mm std7?? Click to expand... Hope unajua english kama ni hivo na bado umri unaruhusu soma secondary kwanza kama hauwezi kabisa basi tafuta vyuo ambavyo havina usajili wa NACTE
M michaelmgerwa Member Joined Sep 7, 2014 Posts 24 Reaction score 6 Sep 13, 2014 #4 kama unaweza soma kwanza Elimu ya secondari ila kama uwezi kama alivyosema mwenzangu tafuta vyo ambavyo havina usajili.
kama unaweza soma kwanza Elimu ya secondari ila kama uwezi kama alivyosema mwenzangu tafuta vyo ambavyo havina usajili.
M man sheby Member Joined Jan 28, 2014 Posts 30 Reaction score 3 Sep 14, 2014 #5 Upo wapi wewe kama uko mbeya nicheki 0759657353 nikupe maelezo ta kina kuhusu chuo utakacho pokelewa ila lazma utaanza kujifunza kiingereza kama ujui
Upo wapi wewe kama uko mbeya nicheki 0759657353 nikupe maelezo ta kina kuhusu chuo utakacho pokelewa ila lazma utaanza kujifunza kiingereza kama ujui
K KASEHUYE JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 299 Reaction score 60 Sep 14, 2014 #6 IT sio rahisi kiasi hicho kama unavofikiria Wewe
E enoswilliam Member Joined Apr 12, 2014 Posts 39 Reaction score 0 Sep 14, 2014 #7 Kwani IT ndio chuo kp hcho?