Kipi ni hatari zaidi

mbona mnatutisha jamani? Tuacheni wenyewe tuendelee kuburudika si hata mabango yao yanaeleza athari za uvutaji? Sasa si mtuache tufe wenyewe mapema? Alaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah!
Mkuu soma post namba 1. Hakuna kutishana, ila ni kuelezana ukweli.
 

kaka umegusa nyanja zote kielimu na kiimani kweli kaka upo deep.
Nimekusoma vyema sana........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…