Kipi ni Kishwahili fasaha hapa?

Kipi ni Kishwahili fasaha hapa?

Full charge

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
1,678
Reaction score
1,617
Wajuvi wa lugha mnisaidie,kwakuzingatia mzizi wa neno,kitenzi na matamshi upi ni usahihi wa maneno au sentensi hizi:

Onyesha-onesha
Kaka wake-kakaake
Hajala-hajakula
Hajaja-hajakuja

NB: Nimesahau maneno mengine tafadhali unaweza kuongeza maneno mengine[emoji120]
 
[emoji777] nilivyo kwenda "nikamkuta~ "hayupo"
[emoji3581] nilivyo kwenda sikumkuta
 
Back
Top Bottom