Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Ndugu zangu, kizazi kipi hapa ni bora, 1980’S - 1990’S watoto wa 2000 hii mada haiwahusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi? Embu dadavuaWe are the best, 1980s
Vigezo vya kupima ubora huo vikoi wapi ili tujue tubadiskas kitu Cha aina ganiNdugu zangu, kizazi kipi hapa ni bora, 1980’S - 1990’S watoto wa 2000 hii mada haiwahusu.
1980's we run the cities.Ndugu zangu, kizazi kipi hapa ni bora, 1980’S - 1990’S watoto wa 2000 hii mada haiwahusu.
Haahaa,1990s we are the G.O.AT
Hiki ndo kizazi chenye utu
Wanaishi kwa kupendana Sana .
Mfano mimi
1980s ndo Akina Makonda, Sabaya nk
Sio kwel nakumbuka barabara zilikua mbaya sana hata 90's kiasi kwamba....INABIDI KUSHUKA KWENYE BASI LIPITE PEKEAKE NDIO MPANDE TENA KUENDELEA NA SAFARI....😊80's ni age za mpito, namaanisha wameishi maisha ya kizamani/ ukoloni mfano, tunazijua redio casset, tumekula local foods sana, tumefundishwa na walimu wa Upe n.k at the same maisha ya kidigital tumeanza nayo mfano ujio wa simu ya kwanza phillips mkonga.!
Hawa wa 90s ni vijana wa utandawazi hawayajui maisha halisi ya muafirika.
Nimependa hapo kwenye DIMBWI LA UMASKINIKizazi bora kwa lipi maana wote kwa kiasi kikubwa wanaogelea ktk dimbwi la umaskini
KIzazi bora wakati wote mpaka sasa wameshindwa kuja na majibu ya changamoto ndogondogo tu zinazowazunguka sio msomi asiye soma wote sawa tu 😃Nimependa hapo kwenye DIMBWI LA UMASKINI
🤓🤓🤓😊😊😊
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂KIzazi bora wakati wote mpaka sasa wameshindwa kuja na majibu ya changamoto ndogondogo tu zinazowazunguka sio msomi asiye soma wote sawa tu 😃
Sasa kweli wewe wa kizazi kipya, sisi wa 80s mwanzo nakumbuka usafiri ilikua punda baadae ndo bus chai maharage, yaani dereva anajitenga na abiria.Sio kwel nakumbuka barabara zilikua mbaya sana hata 90's kiasi kwamba....INABIDI KUSHUKA KWENYE BASI LIPITE PEKEAKE NDIO MPANDE TENA KUENDELEA NA SAFARI....[emoji4]
Kipindi icho simu ni Landline haahaa tena ipo Kwa vibopa...[emoji23]
Usafir mkuu ni Train [emoji581][emoji577] mnapika vyakula kabisa [emoji851] wengine walisafir na majiko ya mkaa kabisa chezea safari ya Dar es salaam to Mwanza..........
Dar es salaam to Kigoma..........
Enzi izo shule za msingi wanasoma wababa [emoji4] na Wamama....Enzi izo watu wana reseat...haikua lelemama watu wanaenda peku peku...na tumelipa ada primary school [emoji4][emoji4][emoji4]
Hata wa 60's na 70's nao ni masikini pia. Hasa wale ambao hawakuwa na pensheni. Hao wa wa 80's na 90's ingekuwa ngumu sana kununua mashamba na kuacha bia, papunye na ya kutolea. Gharama ambazo hazikuwepo miaka ya nyuma.Kizazi bora kwa lipi maana wote kwa kiasi kikubwa wanaogelea ktk dimbwi la umaskini