Kipi ni sahihi? Kuanza na plasta ndio uweke frame za milango au uanze kuweka frame then plasta?

Kipi ni sahihi? Kuanza na plasta ndio uweke frame za milango au uanze kuweka frame then plasta?

Going Concern

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,212
Kipi kinafaa kuanza kati ya plasta au kuweka frame za Milango kwanza? Lengo ni kupata frame ambayo itajaa kwenye kuta vizuri.

Naogopa nikianza kuweka frame ataweka ukubwa Sawa na kuta za Milango hivyo wakipiga plasta haitokua imejaa! Wakipiga plasta then Uje uweke Milango haitokua imeshika vizuri!

Kipi kinafaa kuanza ili kupata wastani mzuri?
 
Kipi kinafaa kuanza kati ya plasta au kuweka frame za Milango kwanza? Lengo ni kupata frame ambayo itajaa kwenye kuta vizuri.


Naogopa nikianza kuweka frame ataweka ukubwa Sawa na kuta za Milango hivyo wakipiga plasta haitokua imejaa! Wakipiga plasta then Uje uweke Milango haitokua imeshika vizuri!

Kipi kinafaa kuanza ili kupata wastani mzuri?
Nunua frem uweke wakati plasta ikiendelea. Au laah piga plaster then baaadae uweke frame. Huwa zinashikizwa vizuri tu

Pia ukianza kuweka frem nayo inawezekana maana fundi atafitisha na kuacha nafasi inayotakiwa kwa plaster
 
Nunua frem uweke wakati plasta ikiendelea. Au laah piga plaster then baaadae uweke frame. Huwa zinashikizwa vizuri tu

Pia ukianza kuweka frem nayo inawezekana maana fundi atafitisha na kuacha nafasi inayotakiwa kwa plaster
🙏🏾🙏🏾
 
Kipi kinafaa kuanza kati ya plasta au kuweka frame za Milango kwanza? Lengo ni kupata frame ambayo itajaa kwenye kuta vizuri.


Naogopa nikianza kuweka frame ataweka ukubwa Sawa na kuta za Milango hivyo wakipiga plasta haitokua imejaa! Wakipiga plasta then Uje uweke Milango haitokua imeshika vizuri!

Kipi kinafaa kuanza ili kupata wastani mzuri?
Nimezoea kuona mafundi wakianza na frame kisha plasta.
 
Kama flame zako ni zile pana zinazokuwa zimeflash inje na ndani vizuri anza na frem ndio upige plasta
 
Usisahau kutafuta namna ya kuzuia mchwa kwanza.
 
Kipi kinafaa kuanza kati ya plasta au kuweka frame za Milango kwanza? Lengo ni kupata frame ambayo itajaa kwenye kuta vizuri.

Naogopa nikianza kuweka frame ataweka ukubwa Sawa na kuta za Milango hivyo wakipiga plasta haitokua imejaa! Wakipiga plasta then Uje uweke Milango haitokua imeshika vizuri!

Kipi kinafaa kuanza ili kupata wastani mzuri?
Kwani fundi wako hajawahi kujenga kwingine?
 
WEKA fremu kwanza kama zipo ili ukipiga plaster usigongegonge Kuta tena na utapunguza mipasuko kwenye plaster yako kama hauna fremu piga plaster then ukipata fremu utaweka
 
Back
Top Bottom