Umechanganya mafaili.Ko unajutia kusoma Diploma ama
Huyu Kiduku lilo yupo wapi siku hizi?sijutii kusoma nyuzi za Kiduku lilo🤣🤣 jamaa kanifanya niwe serious na maisha.🤣🤣
OkayUmechanganya mafaili.
Tuko kwenye ukurasa mmoja,Mimi ni full MAJUTO NI MJUKUU
Wewe ni mzalendoDaaah...umenikumbusha kitambo kidogo,niliiba gunia zima nikatizame mazishi ya nyerere .
Natamani niwe kama wewe mkuuSijutii kupigania ndoto zangu na kuacha mawazo ya ajira na elimu ya juu.
Ni suala la maamuzi tu mkuu.Natamani niwe kama wewe mkuu
SureSijutii kabisa kuijua weed