kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Ilikuwa ni kero kuwasikiliza mara nyingi wakikumbushia goli 5 wao wakiziita hamsa. Hakuna aliyejali ushindi wa Simba na pointi 3.
Sasa leo najua itakuwa fedheha sana kwao kwani hawatakuwa na lolote against Simba. Ila nijuacho ni suala la muda wa siku tatu tu wataanza kukumbushia mechi ya marudiano. Hawajui kuwa Simba ana point 6 na anaongoza kwenye kundi. Wao wana ushabiki wa ndondo wa kufungana tu bila malengo.
Ushindi wa Simba na utaleta fadhaa sana kwa wachambuzi utopolo waliojaa kwenye vyombo vya habari.
Sasa leo najua itakuwa fedheha sana kwao kwani hawatakuwa na lolote against Simba. Ila nijuacho ni suala la muda wa siku tatu tu wataanza kukumbushia mechi ya marudiano. Hawajui kuwa Simba ana point 6 na anaongoza kwenye kundi. Wao wana ushabiki wa ndondo wa kufungana tu bila malengo.
Ushindi wa Simba na utaleta fadhaa sana kwa wachambuzi utopolo waliojaa kwenye vyombo vya habari.