Nchi nyingine wachambuzi ni wachezaji wastaafu/malejendi na wana badge za fifa kwenye ukocha ndio maana wanachokitabiri mara nyingi huwa kinafanana na matokeo baada ya mechi.
Hawa wa kwetu hawajaenda shule yoyote ya mpira ndio maana utabiri wao huwa ni negative na matokeo halisi. Mechi za nje Huwa wanakwenda kusoma uchambuzi wa kina paul shcoles, neville, rio, lampard, callager, bwalya, v boaz, giggs, owen, mourinho, evra na wengine wengi halafu wanakuja kutafsiri na kubwabwaja kwenye show zao na matokeo hayapishani kwa mechi za nje, sasa hizi mechi za caf hazina uchambuzi wa masoccer guru wa nje kwahiyo inawabidi hawa wabongo watabiri wenyewe na ndio hapa upumbavu wao unapojianika