Habari wana jf
Ikiwa tunaelekea kumalia robo ya tatu ya mwaka 2018..pengine.....kunamambo yanaendelea kukusikitisha ......
....Binafsi hua nasikitika sana pale nisikiapo kauli ya Mwanasiasa tena anayeishi na kustarehe kupitia kodi zetu ....eti. "Vijana acheni kulalamika.. ***mkajiajiri***". .....pasinakutoa suluisho la mitaji kwakua vijana wengi hawakopesheki....
Je kipikikusikitishacho?