Kipima joto lugha za matusi kejeli je wanawakilisha maoni ya waliowachagua

Kipima joto lugha za matusi kejeli je wanawakilisha maoni ya waliowachagua

Karibuni masijala

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
409
Reaction score
135
Wanajamvi
Wageni waalikwa Mwanaharakati Marcus na Ndugu Rodrick wa haki za binadamu. Wameonyesha wasiwasi wao kwa wanaongoza bunge kwani wamefafanua kanuni ziko wazi na kwanini wabunge hawajadili hoja zilizowasilishwa wanajadili interest za chama.

Wamerusha matusi ya Lusinde na wengine

Ndipo wakawapa washiriki nafasi wajadili.

Nasi tujadili
 
Back
Top Bottom