Kipimo cha HIV na taaruki niliyoipata

Kipimo cha HIV na taaruki niliyoipata

Tanzaman

Senior Member
Joined
Apr 17, 2023
Posts
146
Reaction score
171
Kama mwezi umepita nilipo pata lile tukio la dharura ikanibidi haraka niwahi kuomba PEP, nikapatiwa ikabidi ni kae zaidi ya mwezi mmoja ili nipime kama hali koje

Jana nikajitoa mhanga nikajipima, majibu yakawa clear yani mstari mmoja, kile kipomo sikukitupa nikawa bado nimekiacha mezani nikatoka nyumbani baada ya kurudi nikakuta mistari mitatu kwakweli nilitaka kuzimia.

Nikaamua kurudia mara mbili sababu nikikuwa na vipimo vitatu, vyote viwili nilivyo rudia mwanzo havikuonesha mistari zaidi ya mmoja lakini baadae vikaonyesha mistari miwili

Nilidhani niko na kujiamini, kweli sikuwa na kujiamini kabisa nilitaka kuzimia kwa hofu kubwa.

Leo nikajitutumua kwenda kule kwenye kituo cha afya ili nikafungue file kufika kule nikawambia kwamba hali sio nzur. Wakasema wanipime, walipo nipima wakanaimbia mbona hakuna nikawaambia bado muda sababu majibu yana kuja baada ya dakika 30

Wakaniambia hivi vipimo vipya, inapaswa usivisome baada ya dakika 20 zaidi ya hapo majibu yana kuja sio, hivyo usihofu. Mpaka dakika hii bado nina tetemeka ninataka kwenda kutoa damu nyingi niangaliwe vizuri zaidi
 
JF hakuna mtu aliwahi kusema ukweli kama alipima akakutwa nao. Wote wanasemaga wako fresh, MAMAMA na MABABA, MISHANGAZI na MI-SUGAR DADDY, MABINTI na VIJANA wa HIVYO!

Kazi mnayo sana!... ukweli humuweka mtu huru!
Kwa sababu tunajipima wenyewe hatuja shurutishwa kama una shurutishwa ndio una weza danganya ila kama watu hawakujui na ukajipima mwenyewe huwa hakuna sababu ya kudanganya ,itakua kama kujidanganya mwenyewe
 
Kama mwezi umepita nilipo pata lile tukio la dharura ikanibidi haraka niwahi kuomba PEP, nikapatiwa ikabidi ni kae zaidi ya mwezi mmoja ili nipime kama hali koje

Jana nikajitoa mhanga nikajipima, majibu yakawa clear yani mstari mmoja, kile kipomo sikukitupa nikawa bado nimekiacha mezani nikatoka nyumbani baada ya kurudi nikakuta mistari mitatu kwakweli nilitaka kuzimia.

Nikaamua kurudia mara mbili sababu nikikuwa na vipimo vitatu, vyote viwili nilivyo rudia mwanzo havikuonesha mistari zaidi ya mmoja lakini baadae vikaonyesha mistari miwili

Nilidhani niko na kujiamini, kweli sikuwa na kujiamini kabisa nilitaka kuzimia kwa hofu kubwa.

Leo nikajitutumua kwenda kule kwenye kituo cha afya ili nikafungue file kufika kule nikawambia kwamba hali sio nzur. Wakasema wanipime, walipo nipima wakanaimbia mbona hakuna nikawaambia bado muda sababu majibu yana kuja baada ya dakika 30

Wakaniambia hivi vipimo vipya, inapaswa usivisome baada ya dakika 20 zaidi ya hapo majibu yana kuja sio, hivyo usihofu. Mpaka dakika hii bado nina tetemeka ninataka kwenda kutoa damu nyingi niangaliwe vizuri zaidi


Who cares? Una shida kubwa mno, kwa hiyo hofu, unaweza toka hapo ukagongwa na Boda boda ukafa, kumbe ungetulia ungeweza ishi miaka 20, amini unachoambiwa , na hiyo hofu ipeleke mahali sahihi, usilale na wanawake kama Mbuzi, tumia akili.
 
safi, tuendelee kuloweka
condom wanasema zinawawasha kvm@n1
Ila sio siri nilitumiaga hizi condom za serikali zilinipa vipele na mpka nikaenda hospitali nikapima gono kaswende uti na ukimwi sikua navyo ila doc akashauri bora uache au ununue condom tofaut na hizi zinazoitwa zana. Nilijuta sana na Mungu mkubwa wife alikua kasafiri ila kingenuka sana asee
 
Back
Top Bottom