Kipimo cha kujua kama amefanya na amefanya na nani toka hospitali.

Kipimo cha kujua kama amefanya na amefanya na nani toka hospitali.

Crispin Nyoni

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
413
Reaction score
90
Wadau kuna kipimo cha kujua kama mwanamke amefanya mapenzi na kugundua kuwa amefanya saa ngapi na amefanya na nani?Yaani naulizia after sexual intercourse medical checkup. Inawezekana?
 
Amani ya Bwana Ipitayo Akili zote iwe nawe



Haya mengine Mkuu yatakupa tabu ushindwe
kuishi kwa Amani pia fanya utafiti na ushahidi
usiotiliwa shaka kama huenda unaibiwa mali.
 
Wadau kuna kipimo cha kujua kama mwanamke amefanya mapenzi na kugundua kuwa amefanya saa ngapi na amefanya na nani?Yaani naulizia after sexual intercourse medical checkup. Inawezekana?

wivu wa kijinga huo, we mchaga nini?
 
Okey kumbe!hospitali watapima stinking,public hairs relation na macho watajua ni nani anakuibia. Possibly!
 
duuh,..

Ngoja nipite kwa sasa ila nitarudi baadae kidogo ili na mimi nipate kujua hiyo njia ya kutambua!!
 
Mleta uzi kwa wivu nafikiri atakuwa maarabu bila shaka kama siyo itabidi nimpeleke kwenye mashindano ya kimataifa ya wivu...du....!!!
 
Tiririka Pastor tuelewe zaidi kama umetuacha kwenye mataa hivi

Okey ni hivi:
Kama mwanaume unayemuhisi akafika kwa daktari na mkeo kuna uwezekano wa kugundua hivi:
1.STINKING-Ni njia ya kupima harufu ya utoko kupitia kwapa zao na nguo za ndani ambapo daktari atapata harufu inaitwa major ambayo nusu ya harufu ya mkeo na nusu ya huyo mjamaa. Kumbuka kila binadamu ana harufu yake refer nguo zetu.
2.BP-Cystolic pressure ya mkeo na yake itakuwa sawa ila diastolic pressure ya mwanamke itapungua ya mwanaume itazidi.
3. Public hair relation. Kwa macho daktari ataona mavuzi ya kila mmoja yamegandiana kwa mwenzake
4. Mwanaume hataweza kusimama mguu mmoja peke yake na mwanamke hataweza kuinua mkono wa kushoto kwa muda mrefu.
5. Ultra sound na vpm vya macho vitaona sura ya kila mmoja iko kwa mwenzake. Ndo maana majambazi huwa wanaficha uso wanapodhuru kupoteza ushahidi kwa macho ya mdhuriwa.
Asilimia ya matokeo haya vipimo vifanywe kabla "hawajaoga".
Nadhani umenielewa mkuu
 
Yaan wewe bora usije ukaoa maana mkeo atapata shidaa,,,UTAKUFA KWA PRESSURE ARIFU:frusty:
 
Okey ni hivi:
Kama mwanaume unayemuhisi akafika kwa daktari na mkeo kuna uwezekano wa kugundua hivi:
1.STINKING-Ni njia ya kupima harufu ya utoko kupitia kwapa zao na nguo za ndani ambapo daktari atapata harufu inaitwa major ambayo nusu ya harufu ya mkeo na nusu ya huyo mjamaa. Kumbuka kila binadamu ana harufu yake refer nguo zetu.
2.BP-Cystolic pressure ya mkeo na yake itakuwa sawa ila diastolic pressure ya mwanamke itapungua ya mwanaume itazidi.
3. Public hair relation. Kwa macho daktari ataona mavuzi ya kila mmoja yamegandiana kwa mwenzake
4. Mwanaume hataweza kusimama mguu mmoja peke yake na mwanamke hataweza kuinua mkono wa kushoto kwa muda mrefu.
5. Ultra sound na vpm vya macho vitaona sura ya kila mmoja iko kwa mwenzake. Ndo maana majambazi huwa wanaficha uso wanapodhuru kupoteza ushahidi kwa macho ya mdhuriwa.
Asilimia ya matokeo haya vipimo vifanywe kabla "hawajaoga".
Nadhani umenielewa mkuu

Aaiseeeeh apoo kwenye kusimama kwa mguu mojaa duuh acha kabisaa na mpaka kinyenyua mkonoo daah udokta nirahaa jamanii?
 
Amani ya Bwana Ipitayo Akili zote iwe nawe



Haya mengine Mkuu yatakupa tabu ushindwe
kuishi kwa Amani pia fanya utafiti na ushahidi
usiotiliwa shaka kama huenda unaibiwa mali.
Mkuu Kennedy umeianza vyema comment yako.
Kwa kweli tunaihitaji Amani ya BWANA ipitayo ufahamu na akili za mwanadamu
 
Back
Top Bottom