Kipimo cha maendeleo ni kuwa na gari

ulitaka jua wa TZ tuna roho mbaya fatilia makazini yaani mtu yuko radhi akuharibie kisa ameona unaanza ona mwanga wa maisha.
Kazini, hata mtaani ukijenga nyumba nzuri wanatupia mawe, wanaweka taka kwa geti, Angalia taasisi kama za kodi wale maofisa wanapiga wafanyabiashara kodi Kubwa kwa roho mbaya. Wtz ni shida.
 
Kama huna haja ya kua na gari usinunue gari kama ufahari maana utakua umelinunua bila malengo maalum. Gari inaweza ikakaa miaka mitatu ikaharibika nyumba unaweza kuitumia hata zaid ya miaka 20 . Jenga kwanza nyumba ndo uanze kuwaza gari.
 
Kama huna haja ya kua na gari usinunue gari kama ufahari maana utakua umelinunua bila malengo maalum. Gari inaweza ikakaa miaka mitatu ikaharibika nyumba unaweza kuitumia hata zaid ya miaka 20 . Jenga kwanza nyumba ndo uanze kuwaza gari.
Fukara wewe
 
Mmmh...huu mtazamo ni wa maisha ya wapi? Mars? Kuna magari yanayolipiwa kwa miaka 4 na hapo alilichukua likiwa na 89,000km

Zaidi, kuwa na pesa sio kuwa na uwezo wa kiakili
 
Mmmh...huu mtazamo ni wa maisha ya wapi? Mars? Kuna magari yanayolipiwa kwa miaka 4 na hapo alilichukua likiwa na 89,000km

Zaidi, kuwa na pesa sio kuwa na uwezo wa kiakili

Mkuu huna unalolijua naona umechangia lakini haujaeleweka ulikuwa unataka kusema nini.
 
Mkuu huna unalolijua naona umechangia lakini haujaeleweka ulikuwa unataka kusema nini.
Nilitaka kusema sina ninalojua mkuu, sikujua kuwa kuna lugha nyepesi ya kusema hivyo, asante kwa kunielewesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…