Kipimo cha mafanikio kwako ni kipi?

Ukwelinasema

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2021
Posts
454
Reaction score
542
Habarini za jioni wakuu na poleni kwa miangaiko ya siku nzima ya leo, rejea kichwa cha habari hapo juu kisha dondosha comment yako ukiifafanua kwauelewa wako.

Binafsi kipimo cha mafanikio kwangu ni thamani ya kitu nachoongeza katika maisha yangu kila wakati ukiacha malengo nayokua nimejipangia kwa nyakati fulani, mfano kununua TV, Kabati, Shamba nk..

Je, kwako ni kipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…