Kipimo cha mapenzi ni nini?

mi nataka laki tatu tu kwa sasa ni pm nikupe no unitumie kwa tigo pesa our jf sponsor sijui naona bango lao

usijali_kwani laki 3 kitu gani bana kwa mtu kama wewe,...ila habari za ku pm mimi hii teknolojia bado zijaijua labda unipe somo la namna ya ku pm,....by the way tutatafutana manually weekend kama hautajali....ukinuna sema
 
<br />
<br />
Usisahau kumpa zoezi la sim,mwambie akupe simu yake ukae nayo siku mbili!

ahahahahahhaaaaaaaaaaaaa!..mimi sina simu bana,...labda ataninunulia siku hiyo
 
haaah haaah mkuu haya bana nitajitahid niongeze chanel za kudaka mikwanja mirefu.
 
ngoja niwang'arishie viatu wateja hapa,wamesubiri sana,...si inaikumbuka ile laki 3_utanikuta hapa stand ya kuenda mikoani yanapo park magari ya hood ...kuna shoe shine na washkaji kibao
 
poa unatuma saa ngapi? unatuma dola au tsh?
inabidi unipe cm kwanza,...iniwezeshe kumake deal ya mil kama 8 hivi halafu ntakutumia kwa tigo pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…