Kipimo changu Kikuu kama Mayele ana Akili au ni Mbumbumbu kitakuwa katika hili

Kipimo changu Kikuu kama Mayele ana Akili au ni Mbumbumbu kitakuwa katika hili

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Akikubali kwenda South Africa au Uarabuni ambako atalipwa kati ya Tsh Milioni 70 hadi 85 za Kitanzania kwa Mwezi nitamuona ana Akili ( Kipanga )

Akikubali kubakia Yanga SC kwa Mshahara wa Tsh Milioni 30 au Milioni 35 kwa Mwezi aliyowekewa pamoja na Jimama lake Jipya la Magomeni ( Mfanyabiashara na Danga la Boss Mmoja CCM Makao ) si tu Nitamdharau bali nitamwona ni Mpumbavu ( Popoma ) aliyetukuka.

Na nasikia pia Anarogwa asiondoke.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] popoma
 
Akikubali kwenda South Africa au Uarabuni ambako atalipwa kati ya Tsh Milioni 70 hadi 85 za Kitanzania kwa Mwezi nitamuona ana Akili ( Kipanga )

Akikubali kubakia Yanga SC kwa Mshahara wa Tsh Milioni 30 au Milioni 35 kwa Mwezi aliyowekewa pamoja na Jimama lake Jipya la Magomeni ( Mfanyabiashara na Danga la Boss Mmoja CCM Makao ) si tu Nitamdharau bali nitamwona ni Mpumbavu ( Popoma ) aliyetukuka.

Na nasikia pia Anarogwa asiondoke.
Alikwambia anataka maoni yako?
 
20230629_172226.jpg
 
Akikubali kwenda South Africa au Uarabuni ambako atalipwa kati ya Tsh Milioni 70 hadi 85 za Kitanzania kwa Mwezi nitamuona ana Akili ( Kipanga )

Akikubali kubakia Yanga SC kwa Mshahara wa Tsh Milioni 30 au Milioni 35 kwa Mwezi aliyowekewa pamoja na Jimama lake Jipya la Magomeni ( Mfanyabiashara na Danga la Boss Mmoja CCM Makao ) si tu Nitamdharau bali nitamwona ni Mpumbavu ( Popoma ) aliyetukuka.

Na nasikia pia Anarogwa asiondoke.
tatizo kwenye historia ya makuzi ya binaadamu,maamuzi ya kupuuzi ni sehemu ta maisha hata kwa wasomi waliobobea kwenye elimu
 
Akikubali kwenda South Africa au Uarabuni ambako atalipwa kati ya Tsh Milioni 70 hadi 85 za Kitanzania kwa Mwezi nitamuona ana Akili ( Kipanga )

Akikubali kubakia Yanga SC kwa Mshahara wa Tsh Milioni 30 au Milioni 35 kwa Mwezi aliyowekewa pamoja na Jimama lake Jipya la Magomeni ( Mfanyabiashara na Danga la Boss Mmoja CCM Makao ) si tu Nitamdharau bali nitamwona ni Mpumbavu ( Popoma ) aliyetukuka.

Na nasikia pia Anarogwa asiondoke.
Hata bi mkuwa wako nae hana akili aliganda kwa mshua wako ambae alikuwa anampa mahindi ya bisi tu angejiendea kwa mengi kujilegeza
 
Back
Top Bottom