Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kila mwanadamu ana nyota , ndani yake kuna talanta, na hiyo talanta ndiyo Mungu hutaka mtu aitumie ili asiwe maskini na mhitaji.
Lakini kama ilivyo ada duniani kuna wachawi ambao huchafua nyota za watu au kuibiwa.
Ukiibiwa nyota utateseka mpaka kifo chako.
Hakuna litakalostawi mikononi mwako.
Kama nyota yako iko active, kali , haijaibiwa au kuchafuliwa itest hivi.
Nenda kwenye biashara ya mtu kafanye manunuzi au kapige stori. Ukiona baada tu ya uwepo wako watu wengi wanakuja ujue una nuru /nyota inayong'ara . Watu hufuata nuru. Hata gizani taa ikiwashwa haraka wadudu hujaa.
Ukiona umekaa dk 5 kwenye biashara ya mtu hakuna mtu anekuja mwamba una nyota ndogo sana au umeibiwa tayari
Lakini kama ilivyo ada duniani kuna wachawi ambao huchafua nyota za watu au kuibiwa.
Ukiibiwa nyota utateseka mpaka kifo chako.
Hakuna litakalostawi mikononi mwako.
Kama nyota yako iko active, kali , haijaibiwa au kuchafuliwa itest hivi.
Nenda kwenye biashara ya mtu kafanye manunuzi au kapige stori. Ukiona baada tu ya uwepo wako watu wengi wanakuja ujue una nuru /nyota inayong'ara . Watu hufuata nuru. Hata gizani taa ikiwashwa haraka wadudu hujaa.
Ukiona umekaa dk 5 kwenye biashara ya mtu hakuna mtu anekuja mwamba una nyota ndogo sana au umeibiwa tayari