habari wakuu
nimekuwa mwanamichezo kwa muda sasa huku nikipenda kufuatilia vipindi vya michezo kutoka vyombo vya habari hapa nchini, kwa hakika mwanzo nilivutiwa sana na sport extra ya clouds fm lakini walikwishapoteza dira zaidi wakapigwa gap na e fm (ni kwikwi, hatupoi) ya maurid kitenge
mbali na hivyo vipindi bora kabisa hapa nchini, kipo kipindi bora kabisa kwa sasa hapa nchini kinauchambuzi huru wa kina kimichezo unaoongozwa na Ahmed Ally na wenzake wa redio free africa inayorushwa kutokea ofisi zao ndogo zilizopo kinondoni Dar es salaam.
kimichezo, radio free wamejipanga kurudisha hadhi yao walojijengea hapo awali kupitia kipindi hikio cha michezo kuanzia ya ndani mpaka kimataifa, hongera kwao.
napenda kutoa rai, kipindi hiki kwa sasa hakina wasikilizaji wengi kwa sababu muda(saa 2 asubuhi) kinaoruka hewani wengi wetu tunakua kazini hivyo itapendeza kipindi hiki kirushe majira ya jioni na siku zote katika wiki.
nawasilisha
nimekuwa mwanamichezo kwa muda sasa huku nikipenda kufuatilia vipindi vya michezo kutoka vyombo vya habari hapa nchini, kwa hakika mwanzo nilivutiwa sana na sport extra ya clouds fm lakini walikwishapoteza dira zaidi wakapigwa gap na e fm (ni kwikwi, hatupoi) ya maurid kitenge
mbali na hivyo vipindi bora kabisa hapa nchini, kipo kipindi bora kabisa kwa sasa hapa nchini kinauchambuzi huru wa kina kimichezo unaoongozwa na Ahmed Ally na wenzake wa redio free africa inayorushwa kutokea ofisi zao ndogo zilizopo kinondoni Dar es salaam.
kimichezo, radio free wamejipanga kurudisha hadhi yao walojijengea hapo awali kupitia kipindi hikio cha michezo kuanzia ya ndani mpaka kimataifa, hongera kwao.
napenda kutoa rai, kipindi hiki kwa sasa hakina wasikilizaji wengi kwa sababu muda(saa 2 asubuhi) kinaoruka hewani wengi wetu tunakua kazini hivyo itapendeza kipindi hiki kirushe majira ya jioni na siku zote katika wiki.
nawasilisha