Wapendwa kuna hiki kipindi kinaitwa Ajenda 2020 kinachorushwa kila Jumatatu saa tatu na nusu usiku Startv.
Naona mtangazaji wake aitwaye Alloyce Nyanda anatumika na ccm au yeye mwenyewe anajipendekeza CCM.
Nimekuwa nikimfuatilia kwa kiasi kipindi chake hiki. Nilichokigundua ni kwamba amekuwa akiwachomekea hoja mfu wapinzani ktk kipindi chake halafu anatoa muda mrefu kwa mgeni ambaye ni mwanaccm ili apate kuziponda na kuzizodoa hoja hizo huku na yeye akimsapoti mwanaccm.
Kwa maoni yangu, kukosekana kwa weledi huko watangazaji wa kibongo wa enzi hizi wataendele kupakaa poda tu usoni lkn hawatakuwa mahiri duniani.
Wamejaa utoto na kujipendekeza kwa serikali kulikopiitiliza na hivyo kuifanya fani hii ikose heshima yake.
Katika kipindi hiki cha kampeni nashauri wapige marufuku viongozi wao kuhudhuria mijadala yoyote inayoendeshwa na kipindi hiki.
Naona mtangazaji wake aitwaye Alloyce Nyanda anatumika na ccm au yeye mwenyewe anajipendekeza CCM.
Nimekuwa nikimfuatilia kwa kiasi kipindi chake hiki. Nilichokigundua ni kwamba amekuwa akiwachomekea hoja mfu wapinzani ktk kipindi chake halafu anatoa muda mrefu kwa mgeni ambaye ni mwanaccm ili apate kuziponda na kuzizodoa hoja hizo huku na yeye akimsapoti mwanaccm.
Kwa maoni yangu, kukosekana kwa weledi huko watangazaji wa kibongo wa enzi hizi wataendele kupakaa poda tu usoni lkn hawatakuwa mahiri duniani.
Wamejaa utoto na kujipendekeza kwa serikali kulikopiitiliza na hivyo kuifanya fani hii ikose heshima yake.
Katika kipindi hiki cha kampeni nashauri wapige marufuku viongozi wao kuhudhuria mijadala yoyote inayoendeshwa na kipindi hiki.