Kipindi cha ala za roho clouds fm

Kuna siku watakuja kutiana studio maana wanapoelekea naona hakuna mipaka
 
dada na ile saut yake ya kichna dah ananiacha hoi...SHE IZ 2FEK
ndo wanaona wanakonga wasikilizaji then mtaani uko wakikutana na vilaza wenzao wanasifiana ahh nilikuskia jana ukifunguka mwana ...umemwaga lekcha ya ukweli...haha haha ni WAJINGA mpk nukta.
 

hivi clouds ni nane nane nukta ngapi vile? mwaka wa nne au wa tano sasa sijaisikiliza
 
Hawa clouds wana impacts mbaya sana kwa vijana wadogo. Tusipoangalia baadae tutakua na watu mahayawani kabisa. Wana brain wash sana vijana,upuuzi mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…