Jamani jana usiku nilikaa hadi saa tano usiku baada ya kuambiwa kuwa watarusha tena mdahalo wa DK. Slaa ( PhD) bahati mbaya sana ulipowadia wakati wenyewe nikiwa nimekaa na kijitaulo tu na kumlazimisha my wife wangu tuahirishe ratiba ya jana, mara ukapita mstari wenye maneno kuwa, mdahalo huo hautaonyeshwa tena....hakuna apology hakuna extra info, sijui walishikwa na kigugumizi gani au hawa jamaa walienda kuwabembeleza waisurudie tena???
Kufika room nako, wife ameshalala, nimeamka na hasira kibao, hakika CCM siwapi kura yangu, hata kwa damu ya kuku........nawakilisha