Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
Jujuzi si wameshinda au?
Aisee! Sio pekeyako uliyesikitika! Tuko wengi ndugu yangu! Tatizo la wabongo wao ni kupeana vitu kwa kujuana na wala sio ujuzi na utaalam! Hii ndio kansa inayoitafuna Tz kwenye kila sekta.