Kipindi cha Hello Mr. Right

Kipindi cha Hello Mr. Right

Sister Abigail

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2020
Posts
2,886
Reaction score
9,088
Nimekutana na kipindi kinarushwa kwenye TV, mtangazaji ni Mc Garab, Lulu Diva na wengine.

Wale washiriki wanapatikanaaje? Je, ni bure mrembo unajitokeza tu, na inakuaje mpaka wadada wazuri vile wanafikia hatua ile?
Inaleta picha gani wadada wanamlilia mwanaume fulani anaejitokeza, na bado wanatafuta mwingine analiona hilo?

Na kuhusu wanaume wanaojiopolea vimwana[emoji16], huwa wanafanyiwa kitu wafike stage nyingine ama ukiopoa ushaopoa mtaelewana mbele?

Mi sijui jamani wanaojua wanijuze.
Screenshot_20220930-162105_1664544245546.jpg
Screenshot_20220930-161813_1664544297009.jpg
 
Unapewa kapu tupu bila kujua background yake in short ni mapenzi ya tamaa za kingono sio mapenzi halisi...

Fuatilia waliotangulia kabla basya hao watakupa picha

Hakuna mapenzi hapo ni ngono ngono ngono na tamaa za kimwili wakishagongana kila mtu akaonja radha ya mwenzake anapita njia yake

Cc: bongo nyoso inamankusweke
Lakini inaweza kutokea baadhi wakawa perfect pair na kufika mbali.huwezi jua

Ila mi nawaza tu mwanamke mwenzangu anajiliza pale watu kibao wanamwangalia akichaguliwa.je baada ya mwezi yakivunjika atarudi tena pale au?
Maana unachukua mtu hujui ana mini nyuma yake.ukute kipanga
 
Back
Top Bottom