Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Kinaonyeshwa star times channel sijui inaitwa bongo.jumamosi SAA 4 usikuKipo Chanel gan icho kipind? n cha kutaftiana wapenz?
Ingia insta andika...mr. right utapata maelezo yoteKipo Chanel gan icho kipind? n cha kutaftiana wapenz?
Hahaaa...mkuu umejifunza nini?Hicho kipindi kinaburudisha sana
Kupitia hicho kipindi unaweza kujifunza akili za wanawake zilivyo [emoji16]
Tv3Kinaonyeshwa star times channel sijui inaitwa bongo.jumamosi SAA 4 usiku
Mi nimekiona YouTube
Nadhani..kuunganisha wapenzi
Then ukishajifunza?Hicho kipindi kinaburudisha sana
Kupitia hicho kipindi unaweza kujifunza akili za wanawake zilivyo [emoji16]
Mpendwa tayari una mke?
Nimekosa nini katika hii dunia?Mpendwa tayari una mke?
Nenda kajiopolee
😆😆😆Nimekosa nini katika hii dunia?
Watoto wa watu kutwa wanalilia nafasi leo hii nikatafute mke kwa tv kweli?
Huo utakuwa uzwazwa🤣
HongeraNimekosa nini katika hii dunia?
Watoto wa watu kutwa wanalilia nafasi leo hii nikatafute mke kwa tv kweli?
Huo utakuwa uzwazwa[emoji1787]
Lakini inaweza kutokea baadhi wakawa perfect pair na kufika mbali.huwezi juaUnapewa kapu tupu bila kujua background yake in short ni mapenzi ya tamaa za kingono sio mapenzi halisi...
Fuatilia waliotangulia kabla basya hao watakupa picha
Hakuna mapenzi hapo ni ngono ngono ngono na tamaa za kimwili wakishagongana kila mtu akaonja radha ya mwenzake anapita njia yake
Cc: bongo nyoso inamankusweke
Mmmh sio hongera inaonyesha tunahitajiana mkuuHongera
Labda hajabahatikakuna mdada namuonaga toka Mr Right imeanza hadi nimeanza kuhisi ni mchongo tu
Unahotajiana we na nani?Mmmh sio hongera inaonyesha tunahitajiana mkuu
Ke na meUnahotajiana we na nani?