Kipindi cha Kipanya; tukishapiga nyungu tupewe vyeti

Kipindi cha Kipanya; tukishapiga nyungu tupewe vyeti

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1615278746701.png

Chanjo hamleti basi tupeni vyeti tukishapiga nyungu na sisi tuonyeshe tunavyopigana na COVID.
 
nyungu ni kielelezo cha ufinyu wa fikra tulio nao watanzania, Mama Gwajima awe held responsible for causing loss of life,kuweka nyungu kutawapa wananchi false hopes wakiumwa waende kupiga nyunguzii Muhimbili ambayo ni bure,,haisaidii
 
Cheti chako ni uhai & kuchapa kazi. Hivi huyu Panya bado anaamini katika elimu ya makaratasi, na wala siyo matokeo!??? Hivi wengine wanakwamaga wapi sijui jamani tena!???
Anazungumzia “cards” kama zile za Yellow Fever

1615291101131.png
 
nyungu ni kielelezo cha ufinyu wa fikra tulio nao watanzania, Mama Gwajima awe held responsible for causing loss of life,kuweka nyungu kutawapa wananchi false hopes wakiumwa waende kupiga nyunguzii Muhimbili ambayo ni bure,,haisaidii
Nyungu muhimbili sio Bure. Unapiga kwa gharama ya Tsh 5,000 nadhan.

Bure ni kule Geita alikowajengea nyungu(Sauna) wapiga kura wake

Mimi bado nakula mananasi na tangawizi miksa vitunguu swaumu limao. Nasubiria mbunge wangu atujengee nyungu ya bure na sisi
 
Nyungu muhimbili sio Bure. Unapiga kwa gharama ya Tsh 5,000 nadhan.

Bure ni kule Geita alikowajengea nyungu(Sauna) wapiga kura wake

Mimi bado nakula mananasi na tangawizi miksa vitunguu swaumu limao. Nasubiria mbunge wangu atujengee nyungu ya bure na sisi

hujanielewa nimesema bure kwamba haisaidii kutibu corona, good luck piga nyunguzzzz zako hata kutwa mara tatu..
 
hujanielewa nimesema bure kwamba haisaidii kutibu corona, good luck piga nyunguzzzz zako hata kutwa mara tatu..
Nimekuelewa sasa.....ni kweli ni Bure kabisa hakuna kitu pale

Tuombeane tu mkuu

Au tutoroke twende Kenya tukapate chanjo?? Je watatupokea kama mahindi tu washayaanzishia figisu

Hata hivyo siogopi sana kwakua kuna mtumishi wa Mungu ametuambia Corona ni ya matajiri tu, sie masikini hata tusiwaze inanunusa hela ndo inakudandia.
 
Haya mambo nilikuwa nayaona kwenye movie Tu... ya chanjo dhidi ya virus hatari , kumbe yapo real , Corona imedhibitisha
 
Cheti chako ni uhai & kuchapa kazi. Hivi huyu Panya bado anaamini katika elimu ya makaratasi, na wala siyo matokeo!??? Hivi wengine wanakwamaga wapi sijui jamani tena!???
Mkuu kwa hili bandiko, sina shaka kama wewe ndo unakwama! Si unajua bandiko linaongea mengi kuliko mdomo?

Wanaoelewa wameshapata somo la Kipanya. Huyu jama ana talent kubwa. Ukiaangalia katuni yake lazima ikuchukue hata dakika tatu au tano au zaidi kumuelewa.
 
Back
Top Bottom