Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,047
- 1,832
Tokea Awamu hii iingie Madarakani naona imeamua kuwachia wakulima hasa wa nafaka wanufaike, kila siku ukienda sokoni bei ya nafaka iko juu, kwani mipaka imefunguliwa na ukichanganya na Athari za mabadiliko ya Tabia ya nchi.
Kama Mkulima umeweza kuhifadhi angalau gunia 20 za Mahindi mwezi February gunia litakua si chini ya Tsh 150000.
Cha msingi kipindi hiki wakulima tutumie Improved seeds na tupandè na Mvua za Kwanza, mbegu hizi hazikuangushi kamwe na mimi ni shuhuda wa hili, nimezipanda masika na vuli na hazijaniangusha.
Kama Mkulima umeweza kuhifadhi angalau gunia 20 za Mahindi mwezi February gunia litakua si chini ya Tsh 150000.
Cha msingi kipindi hiki wakulima tutumie Improved seeds na tupandè na Mvua za Kwanza, mbegu hizi hazikuangushi kamwe na mimi ni shuhuda wa hili, nimezipanda masika na vuli na hazijaniangusha.