Prince Mujubu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 340
- 249
Duh!Kipindi chenyewe ni kibovu kibovu sana! kwanza sikikuangalia hata sijui kinarushwa saa ngapi
Kumbe ndio maana ya lile dongo la Instagram?Wala Sina Haja Ya Kutoa Maoni. Kwasababu Mwenye Kipindi Kasema Kama Unaona Sio Kizuri Basi Azisha Cha kwako.
Wako talented kuandaa location?Salama na her team wako very talented, clean graphics, good location.
But poor contents. Hakina contents nzuri na kina mbwembwe kibao na nyingine hazina maana.
Yani bahati ni kuwa host ni salama.
Skupata kukitazma ni location zip wametumia?Kawaida sana sijaona ubunifu wa ziada labda location tu.
Kwann unasema salama hafai kuendesha hicho kipindiKibovu hakina jipya..hizo nyimbo na komedi alizoweka tushaziona kitaaamboo..binafsi sijaelewa hata lengo la kipindi..wakiboreshe salama.si wa kuendesha kipindi kilichopooza kama kile
Sina Hakika Mkuu, Ila Me Nimemsikia Jana Wakati Kipindi Kikiwa Hewani.Kumbe ndio maana ya lile dongo la Instagram?
Nimeangalia jana nikawa disappointed... Bora hata hizo nyimbo angekuwa anazimaliza basi!!Kwa ufupi ni top 20 ya Salama hakuna kitu zaidi ya kuona kavaa kaptura.
kipo kawaida kajalibu kuonesha utofauti lakin bahati mbaya amefeli ata sammisago kampiga gap anachukua clip zakila siku yeye salama mpaka arecord vipind kadhaa me nadhan mkasi angewarudia walewale wasanii kipind kimepwaya sana ata kwenda youtube ni ngumu clip zile zile video zile zileHichi kipind kwako umekuonaje..?
Maandishi yamesoma by Ambwene Yesaya.kwahiyo yupo pekee yake hakimuhusu na AY?