Sasa kwanini kibadilishwe mkuuHivi naomba kuuliza kwenu waungwana, nyie hiki kipindi cha kila siku saa 3-4 usiku kupitia clouds fm, kiendelee kuitwa Sports Xtra au kibadilishwe jina na kiitwe Soccer Xtra?
Najaribu kuwaza tu bandugu............ [emoji26] [emoji26] [emoji26]
Nadhani wewe ndo unawaza udaimond na ukiba,,,,,, mimi hata ukija kwenye Playlist yangu hakuna hata nyimbo zao kwasababu huwa sina time nao... Zaidi utakutana na Mwana FA, Nikki Mbishi, Chindoman, One Incredible, Galinoma, Jah Kimbute, Msondo nk.watu wa diamond bana! Yaan kumchukia ruge mmeanza kuvidisi vipindi bila sababu
kwahyo unataka kusema sport extra izungumzie rugby au sioNadhani wewe ndo unawaza udaimond na ukiba,,,,,, mimi hata ukija kwenye Playlist yangu hakuna hata nyimbo zao kwasababu huwa sina time nao... Zaidi utakutana na Mwana FA, Nikki Mbishi, Chindoman, One Incredible, Galinoma, Jah Kimbute, Msondo nk.
Nilitaraji pendekezo lako ni la kutoka Uinglishi kwenda Kiswahili. Kumbe unataka Uinglishi uendelee tu!!!!!!!! Siafiki kwa hilo.Hivi naomba kuuliza kwenu waungwana, nyie mnaonaje hiki kipindi cha kila siku saa 3-4 usiku kupitia clouds fm, kiendelee kuitwa Sports Xtra au kibadilishwe jina na kiitwe Soccer Xtra?
Najaribu kuwaza tu bandugu............ [emoji26] [emoji26] [emoji26]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Nilitaraji pendekezo lako ni la kutoka Uinglishi kwenda Kiswahili. Kumbe unataka Uinglishi uendelee tu!!!!!!!! Siafiki kwa hilo.