Kipindi Cha sports extra clouds FM saivi hawachambui mpira Bali wameelekeza nguvu zao zaidi kwenye hamasa ya kucheza kamali (mchongo pesa).

Kipindi Cha sports extra clouds FM saivi hawachambui mpira Bali wameelekeza nguvu zao zaidi kwenye hamasa ya kucheza kamali (mchongo pesa).

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Hiki kipindi kimekuwa ni Cha hovyo Sana kimepoteza mvuto ni tofauti kabisa na mwanzo.

Saivi ukifungua redio usikilize walau hata upate update za mpira na uchambuzi Cha kushangaza unakutana na promo za mchongo pesa inayoimbwa kila sekunde hamasa imekua kubwa sana mpaka wamesahu maudhui ya kipindi.

Kipindi Cha hovyo Sana hiki na kamali yao waliyoikopi kwa Biko na tatu mzuka.
 
Vipindi vya michezo hasa hizi redio kama Clouds,Wasafi na EFM vinaboa sana, matangazo ni mengi zaidi kuliko uchambuzi,hata kama wanapata hela ya mishahara yao kwenye matangazo is too much,uchambuzi huwezi kufanyika kwa dk 2 au 3 lazima tangazo liingizwe
 
Hiki kipindi kimekuwa ni Cha hovyo Sana kimepoteza mvuto ni tofauti kabisa na mwanzo.

Saivi ukifungua redio usikilize walau hata upate update za mpira na uchambuzi Cha kushangaza unakutana na promo za mchongo pesa inayoimbwa kila sekunde hamasa imekua kubwa sana mpaka wamesahu maudhui ya kipindi.

Kipindi Cha hovyo Sana hiki na kamali yao waliyoikopi kwa Biko na tatu mzuka.
huu ni ujinga wa hali ya juu
 
Hiki kipindi kimekuwa ni Cha hovyo Sana kimepoteza mvuto ni tofauti kabisa na mwanzo.

Saivi ukifungua redio usikilize walau hata upate update za mpira na uchambuzi Cha kushangaza unakutana na promo za mchongo pesa inayoimbwa kila sekunde hamasa imekua kubwa sana mpaka wamesahu maudhui ya kipindi.

Kipindi Cha hovyo Sana hiki na kamali yao waliyoikopi kwa Biko na tatu mzuka.
Hivi mnapata wapi ujasiri wa kuwasikiliza wachambuzi wa kibongo ?
 
Tangazo CD yake ipo na wamelipiga mda c mrefu ...mala wanaanza kulichambua tangazo ....aloooo nikajisemea flash ipo wapi mala iyapa.... Nakula ngoma tuu
 
Mi nilishaacha kusikiliza vipind vya redio maana ni KERO
 
Yaani hua nakereka sana karibu 70% ya muda wa kipindi chote ni kutangaza mchongopesa.
 
Binafsi nafuatilia Wasafi kwenye sports naona wapo poa sana napata uchambuzi mzuri japo pia kina matangazo Ila wanajitahidi sana kwenye kutoa muda wa uchambuzi kufanyika kwa upana
 
Hiki kipindi kimekuwa ni Cha hovyo Sana kimepoteza mvuto ni tofauti kabisa na mwanzo.

Saivi ukifungua redio usikilize walau hata upate update za mpira na uchambuzi Cha kushangaza unakutana na promo za mchongo pesa inayoimbwa kila sekunde hamasa imekua kubwa sana mpaka wamesahu maudhui ya kipindi.

Kipindi Cha hovyo Sana hiki na kamali yao waliyoikopi kwa Biko na tatu mzuka.
Ndo ujinga huo sasa.
 
Vipindi vya michezo hasa hizi redio kama Clouds,Wasafi na EFM vinaboa sana, matangazo ni mengi zaidi kuliko uchambuzi,hata kama wanapata hela ya mishahara yao kwenye matangazo is too much,uchambuzi huwezi kufanyika kwa dk 2 au 3 lazima tangazo liingizwe
Kweli wamezidi .Hasa EFM na clouds media.
 
Back
Top Bottom